Mistari ya Biblia kuhusu Oaths: Pledging allegiance to sovereigns
Mistari kuhusu Pledging allegiance to sovereigns
Katika mwaka wa saba, Yehoyada akatumania wakuu wa vikundi vya mamia, na Wakari, na walinzi, nao wakaletwa kwake katika Hekalu la Bwana. Alifanya agano nao na kuwaapisha katika Hekalu la Bwana. Ndipo akawaonyesha mwana wa mfalme.
Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu.