Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Consolation Under Affliction: To those deserted by friends

8 mistari · 22 vipengele

Mistari kuhusu To those deserted by friends

  1. Hata kama baba yangu na mama wakiniacha, Bwana atanipokea.

  2. Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini, yule aliyekula chakula changu ameniinulia kisigino chake.

  3. Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie, ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.

  4. Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.

  5. Katika uadilifu wangu unanitegemeza na kuniweka kwenye uwepo wako milele.

  6. Sitawaacha ninyi yatima, naja kwenu.

  7. “Kama ulimwengu ukiwachukia ninyi, kumbukeni kwamba ulinichukia mimi kabla yenu.

  8. Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungeliwapenda kama vile unavyowapenda walio wake. Kwa sababu ninyi si wa ulimwengu, lakini mimi nimewachagua kutoka ulimwengu, hii ndiyo sababu ulimwengu unawachukia.