Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Consolation Under Affliction: By ministers of the gospel

5 mistari · 22 vipengele

Mistari kuhusu By ministers of the gospel

  1. Wafarijini, wafarijini watu wangu, asema Mungu wenu.

  2. Sema na Yerusalemu kwa upole, umtangazie kwamba kazi yake ngumu imekamilika, kwamba dhambi yake imefanyiwa fidia, kwamba amepokea kutoka mkononi mwa Bwana maradufu kwa ajili ya dhambi zake zote.

  3. Lakini anayetoa unabii anasema na watu akiwajenga, kuwatia moyo na kuwafariji.

  4. Yeye hutufariji katika taabu zetu, ili tuweze kuwafariji walio katika taabu yoyote kwa faraja ambayo sisi wenyewe tumepokea kutoka kwa Mungu.

  5. Kama tunataabika, ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; kama tukifarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu, iwaleteayo saburi ya mateso yale yale yanayotupata.