Mistari ya Biblia kuhusu Consolation Under Affliction: Saints should administer to each other
Mistari kuhusu Saints should administer to each other
Kwa hiyo farijianeni kwa maneno haya.
Kwa hiyo farijianeni na kujengana, kama vile mnavyofanya sasa.
Nasi twawasihi, ndugu, waonyeni walio wavivu, watieni moyo waoga, wasaidieni wanyonge na kuwavumilia watu wote.