Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Animals: Nature of

4 mistari · 25 vipengele

Mistari kuhusu Nature of

  1. Pia nikafikiri, “Kuhusu wanadamu, Mungu huwajaribu ili wajione kwamba wao ni kama wanyama.

  2. Hatima ya mwanadamu ni kama ile ya wanyama; wote wana mwisho unaofanana: Jinsi anavyokufa mnyama, ndivyo anavyokufa mwanadamu. Wote wana pumzi inayofanana; mwanadamu hana cha zaidi kuliko mnyama. Kila kitu ni ubatili.

  3. Wote huenda mahali panapofanana; wote hutoka mavumbini, mavumbini wote hurudi.

  4. Ni nani ajuaye kama roho ya mtu huenda juu na roho ya mnyama hushuka chini ardhini?”