Mistari ya Biblia kuhusu Animals: Belong to God
Mistari kuhusu Belong to God
Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.
Ninamjua kila ndege mlimani, nao viumbe wa kondeni ni wangu.
Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi, kwa maana ulimwengu ni wangu, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.