Mistari ya Biblia kuhusu Adoption: Likeness to God
Mistari kuhusu Likeness to God
Lakini ninawaambia: Wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowatesa ninyi,
ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu waovu na watu wema, naye huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.
Kwa hiyo kuweni wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.
Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wapendwao,