Mistari ya Biblia kuhusu Abraham: Wealth of
Mistari kuhusu Wealth of
Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.
Bwana amembariki sana bwana wangu, amekuwa tajiri. Amempa kondoo na ngʼombe, fedha na dhahabu, watumishi wa kiume na wa kike, ngamia na punda.
mwangalieni Abrahamu, baba yenu, na Sara, ambaye aliwazaa. Wakati nilipomwita alikuwa mmoja tu, nami nikambariki na kumfanya kuwa wengi.