Mistari ya Biblia kuhusu Abraham: Sarah, his wife, dies
Mistari kuhusu Sarah, his wife, dies
Sara aliishi akawa na umri wa miaka mia na ishirini na saba.
Sara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, Abrahamu akamwombolezea na kumlilia Sara.