Mistari ya Biblia kuhusu Abraham: Testament of
Mistari kuhusu Testament of
Abrahamu akamwachia Isaki kila kitu alichokuwa nacho.
Lakini Abrahamu alipokuwa bado hai, akawapa watoto wa masuria wake zawadi, kisha akawaondoa waende kuishi pande za mashariki mbali na mwanawe Isaki.