- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Amri ya Kutuma Wapelelezi
Hesabu 13:1-16
1
Bwana akamwambia Mose,
2
“Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ambayo ninawapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mmoja wa viongozi wao.”
3
Hivyo kwa agizo la Bwana Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli.
4
Haya ndiyo majina yao: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
5
kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6
kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
7
kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu;
8
kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
9
kutoka kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu;
10
kutoka kabila la Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi,
11
kutoka kabila la Manase (kabila la Yosefu), Gadi mwana wa Susi;
12
kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali;
13
kutoka kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli;
14
kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi;
15
kutoka kabila la Gadi, Geueli mwana wa Maki.
16
Haya ndiyo majina ya watu ambao Mose aliwatuma kuipeleleza nchi. (Mose akampa Hoshea mwana wa Nuni jina Yoshua.)
Settings