Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of the Holy Spirit: Spirit, the
Mistari kuhusu Spirit, the
Kisha Yesu akaongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani ili akajaribiwe na ibilisi.
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.