Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of the Holy Spirit: Spirit of God
Mistari kuhusu Spirit of God
Wakati huu dunia ilikuwa haina umbo, tena ilikuwa tupu. Giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungu alikuwa ametulia juu ya maji.
Roho wa Mungu ameniumba; pumzi ya Mwenyezi hunipa uhai.
Kwa maana ni nani anayejua mawazo ya mtu isipokuwa roho iliyo ndani ya huyo mtu? Vivyo hivyo hakuna mtu ajuaye mawazo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.