Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Vine: Proverbial allusion to fathers eating the unripe fruit of

3 mistari · 42 vipengele

Mistari kuhusu Proverbial allusion to fathers eating the unripe fruit of

  1. “Katika siku hizo, watu hawatasema tena, “ ‘Baba wamekula zabibu chachu, nayo meno ya watoto yakatiwa ganzi.’

  2. Badala yake, kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe; yeyote alaye zabibu chachu, meno yake mwenyewe yatatiwa ganzi.

  3. “Je, ninyi watu mna maana gani kutumia mithali hii inayohusu nchi ya Israeli: “ ‘Baba wamekula zabibu zenye chachu, nayo meno ya watoto yametiwa ganzi’?