Mistari ya Biblia kuhusu The Sun: (Its brightness,) of the future glory of saints
Mistari kuhusu (Its brightness,) of the future glory of saints
Wale wenye hekima watangʼaa kama mwanga wa mbingu, nao wale ambao huwaongoza wengi kutenda haki, watangʼaa kama nyota milele na milele.
Ndipo wenye haki watangʼaa kama jua katika Ufalme wa Baba yao. Yeye aliye na masikio, na asikie.