Mistari ya Biblia kuhusu The Sun: Created
Mistari kuhusu Created
Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe usiku na mchana, nayo iwe alama ya kutambulisha majira mbalimbali, siku na miaka,
Mungu akafanya mianga miwili mikubwa: mwanga mkubwa utawale mchana, na mwanga mdogo utawale usiku. Pia Mungu akafanya nyota.
Mchana ni wako, nao usiku ni wako pia, uliziweka jua na mwezi.