Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu The Sun: Created

3 mistari · 45 vipengele

Mistari kuhusu Created

  1. Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe usiku na mchana, nayo iwe alama ya kutambulisha majira mbalimbali, siku na miaka,

  2. Mungu akafanya mianga miwili mikubwa: mwanga mkubwa utawale mchana, na mwanga mdogo utawale usiku. Pia Mungu akafanya nyota.

  3. Mchana ni wako, nao usiku ni wako pia, uliziweka jua na mwezi.