Skip to content

Oboth

4 verses

31.4900, 35.7800 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Oboth

  1. Waisraeli waliendelea na safari yao na wakapiga kambi huko Obothi.

  2. Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi huko Iye-Abarimu, katika jangwa linalotazamana na Moabu kuelekea mawio ya jua.

  3. Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.

  4. Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.