Mistari ya Biblia kuhusu Oboth
Mistari muhimu ya Biblia
Waisraeli waliendelea na safari yao na wakapiga kambi huko Obothi.
Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi huko Iye-Abarimu, katika jangwa linalotazamana na Moabu kuelekea mawio ya jua.
Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.