Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Oboth

4 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Waisraeli waliendelea na safari yao na wakapiga kambi huko Obothi.

  2. Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi huko Iye-Abarimu, katika jangwa linalotazamana na Moabu kuelekea mawio ya jua.

  3. Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.

  4. Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.