Mistari ya Biblia kuhusu Oboth: A camping place of Israel in the forty years' wandering.
Mistari kuhusu A camping place of Israel in the forty years' wandering.
Waisraeli waliendelea na safari yao na wakapiga kambi huko Obothi.
Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi huko Iye-Abarimu, katika jangwa linalotazamana na Moabu kuelekea mawio ya jua.
Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.