Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The Promises of God: The inheritance of the saints is of

2 mistari · 57 vipengele

Mistari kuhusu The inheritance of the saints is of

  1. Kwa maana ile ahadi kwamba angeurithi ulimwengu haikuja kwa Abrahamu au kwa wazao wake kwa njia ya sheria bali kwa njia ya haki ipatikanayo kwa imani.

  2. Kwa maana kama urithi hupatikana kwa sheria, basi hautegemei tena ahadi, lakini Mungu kwa neema yake alimpa Abrahamu urithi kwa njia ya ahadi.