Mistari ya Biblia kuhusu The Promises of God: Forgiveness of sins
Mistari kuhusu Forgiveness of sins
“Njooni basi tuhojiane,” asema Bwana. “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu, zitakuwa nyeupe kama theluji; ingawa ni nyekundu sana kama damu, zitakuwa nyeupe kama sufu.
Kwa sababu nitasamehe uovu wao, wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”