Mistari ya Biblia kuhusu The Promises of God: The Fathers
Mistari kuhusu The Fathers
“Nasi tunawaletea habari njema, kwamba yale Mungu aliyowaahidi baba zetu
Nami sasa ni kwa sababu ya tumaini langu katika kile ambacho Mungu aliwaahidi baba zetu, ninashtakiwa leo.
Hii ndiyo ahadi ambayo makabila yetu kumi na mawili yanatarajia kuiona ikitimizwa wanapomtumikia Mungu kwa bidii usiku na mchana. Ee mfalme, ninashtakiwa na Wayahudi kwa ajili ya tumaini hili.