Mistari ya Biblia kuhusu The Ox: Lowing of, alluded to
Mistari kuhusu Lowing of, alluded to
Lakini Samweli akasema, “Nini basi huu mlio wa kondoo masikioni mwangu? Huu mlio wa ngʼombe ninaousikia ni kitu gani?”
Je, punda-mwitu hulia akiwa na majani, au ngʼombe dume hulia akiwa na chakula?