Skip to content

Sharon

6 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: Saron

32.6300, 34.9400 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Sharon

  1. Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni. Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.

  2. Mimi ni ua la Sharoni, yungiyungi ya bondeni.

  3. Ardhi inaomboleza na kuchakaa, Lebanoni imeaibika na kunyauka, Sharoni ni kama Araba, nayo Bashani na Karmeli wanapukutisha majani yao.

  4. litachanua maua, litashangilia sana na kupaza sauti kwa furaha. Litapewa utukufu wa Lebanoni, fahari ya Karmeli na Sharoni; wataona utukufu wa Bwana, fahari ya Mungu wetu.

  5. Sharoni itakuwa malisho kwa ajili ya makundi ya kondoo, na Bonde la Akori mahali pa kupumzikia kwa makundi ya ngʼombe, kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta.

  6. Watu wote wa Lida na Sharoni walipomwona Ainea akitembea wakamgeukia Bwana.