Mistari ya Biblia kuhusu The Ox: (Led to slaughter,) of saints under persecution
Mistari kuhusu (Led to slaughter,) of saints under persecution
Nilikuwa kama mwana-kondoo mpole aliyeongozwa machinjoni; mimi sikutambua kwamba walikuwa wamefanya shauri baya dhidi yangu, wakisema, “Sisi na tuuangamize mti na matunda yake; nasi tumkatilie mbali kutoka nchi ya walio hai, ili jina lake lisikumbukwe tena.”