Mistari ya Biblia kuhusu The Jews: The removal of their blindness
Mistari kuhusu The removal of their blindness
Lakini akili zao zilipumbazwa, kwa maana mpaka leo utaji ule ule hufunika wakati Agano la Kale linasomwa. Huo utaji haujaondolewa, kwa maana ni katika Kristo peke yake unaondolewa.
Hata leo Sheria ya Mose inaposomwa, utaji hufunika mioyo yao.
Lakini wakati wowote mtu anapomgeukia Bwana, utaji unaondolewa.