Mistari ya Biblia kuhusu The Jews: Prone to formality in religion
Mistari kuhusu Prone to formality in religion
Ninyi wanafiki! Isaya alikuwa sawa alipotabiri juu yenu kwamba:
“ ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
Huniabudu bure; nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’ ”