Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Sickness: With a word

2 mistari · 47 vipengele

Mistari kuhusu With a word

  1. Lakini yule jemadari akamwambia, “Bwana, mimi sistahili wewe kuingia chini ya dari yangu. Lakini sema neno tu, naye mtumishi wangu atapona.

  2. Kisha Yesu akamwambia yule jemadari, “Nenda na iwe kwako sawasawa na imani yako.” Naye yule mtumishi akapona saa ile ile.