Mistari ya Biblia kuhusu Sickness: Hears the prayers of those in
Mistari kuhusu Hears the prayers of those in
Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie na wewe umeniponya.
Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizo yao.