Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Shammah

7 mistari · 4 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.

  2. Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.

  3. Aliyefuata alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti walipokusanyika pamoja mahali palipokuwa shamba lililojaa dengu, vikosi vya Israeli viliwakimbia.

  4. Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalitetea na kuwaua Wafilisti, naye Bwana akawapa ushindi mkubwa.

  5. Shama, Mharodi; Elika, Mharodi;

  6. mwana wa Shama, Mharari; Ahiamu mwana wa Sharari, Mharari;

  7. Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.