Mistari ya Biblia kuhusu Shammah: 3. One of David's mighty men, son of Agee
Mistari kuhusu 3. One of David's mighty men, son of Agee
Aliyefuata alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti walipokusanyika pamoja mahali palipokuwa shamba lililojaa dengu, vikosi vya Israeli viliwakimbia.
Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalitetea na kuwaua Wafilisti, naye Bwana akawapa ushindi mkubwa.