Skip to content

Reuel

6 mistari · 10 wanafamilia

Mistari inayomtaja Reuel

  1. Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,

  2. Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

  3. Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.

  4. Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.

  5. Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.

  6. Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.