Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Reuel

8 mistari · 3 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,

  2. Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

  3. Wana wa Reueli ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.

  4. Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.

  5. Kabila la Gadi litafuata. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.

  6. Wana wa Esau walikuwa: Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.

  7. Wana wa Reueli walikuwa: Nahathi, Zera, Shama na Miza.

  8. Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.