Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Self-Delusion: Fatal consequences of

7 mistari · 23 vipengele

Mistari kuhusu Fatal consequences of

  1. Ndipo nitakapowaambia wazi, ‘Sikuwajua kamwe. Ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!’

  2. Lakini kama huyo mtumishi ni mwovu, naye akasema moyoni mwake, ‘Bwana wangu atakawia muda mrefu,’

  3. kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi.

  4. Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua.

  5. Atamkata vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja na wanafiki, mahali ambako kutakuwa ni kulia na kusaga meno.

  6. “Lakini Mungu akamwambia, ‘Mpumbavu wewe! Usiku huu uhai wako unatakiwa. Sasa hivyo vitu ulivyojiwekea akiba vitakuwa vya nani?’

  7. Wakati watu wanaposema, “Kuna amani na salama,” maangamizi huwajia ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwanamke mwenye mimba; nao hakika hawatatoroka.