Mistari ya Biblia kuhusu Salt: Elisha casts salt into the pool of Jericho to purify it
Mistari kuhusu Elisha casts salt into the pool of Jericho to purify it
Akasema, “Nileteeni bakuli mpya, mweke chumvi ndani yake.” Kwa hiyo wakamletea.
Kisha akaenda kwenye chemchemi na kuitupa ile chumvi ndani yake, akisema, “Hili ndilo asemalo Bwana: ‘Nimeyaponya maji haya. Kamwe hayatasababisha mauti tena wala kutozaa.’ ”