Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Obed

14 mistari · 5 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wanawake waliokuwa jirani zake wakasema, “Naomi ana mtoto wa kiume.” Wakamwita jina lake Obedi. Yeye ndiye baba yake Yese, aliye baba yake Daudi.

  2. Hivi ndivyo vizazi vya Peresi: Peresi alimzaa Hesroni,

  3. Hesroni akamzaa Ramu, Ramu akamzaa Aminadabu,

  4. Aminadabu akamzaa Nashoni, Nashoni akamzaa Salmoni,

  5. Salmoni akamzaa Boazi, Boazi akamzaa Obedi,

  6. Obedi akamzaa Yese, na Yese akamzaa Daudi.

  7. Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

  8. Zabadi akamzaa Eflali, Eflali akamzaa Obedi,

  9. Obedi akamzaa Yehu, Yehu akamzaa Azaria,

  10. Elieli, na Obedi na Yaasieli Mmesobai.

  11. Wana wa Shemaya ni: Othni, Refaeli, Obedi na Elizabadi; jamaa zake Elihu na Semakia walikuwa pia watu wenye uwezo.

  12. Katika mwaka wa saba, Yehoyada akaonyesha nguvu zake. Alifanya agano na wakuu wa vikosi vya mamia: yaani Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.

  13. Salmoni akamzaa Boazi, na mama yake Boazi alikuwa Rahabu, Boazi akamzaa Obedi, ambaye mama yake alikuwa Ruthu, Obedi akamzaa Yese,

  14. Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,