Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Moabites: Land of, not given to the Israelites as a possession

2 mistari · 56 vipengele

Mistari kuhusu Land of, not given to the Israelites as a possession

  1. Kisha Bwana akaniambia, “Usiwasumbue Wamoabu kwa vita, kwa kuwa sitawapa sehemu yoyote ya nchi yao. Nimetoa nchi ya Ari kwa wazao wa Loti kama milki yao.”

  2. kama wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri na Wamoabu ambao wanaishi Ari walivyotufanyia, mpaka tuvuke Yordani kuingia nchi ambayo Bwana Mungu wetu anatupatia.”