Mistari ya Biblia kuhusu Moabites: Joined Babylon against Judah
Mistari kuhusu Joined Babylon against Judah
Bwana akatuma wavamiaji wa Wakaldayo, Waaramu, Wamoabu na Waamoni ili kumshambulia. Aliwatuma kuiangamiza Yuda sawasawa na neno la Bwana lililosemwa na watumishi wake manabii.