Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Moabites: David takes refuge among, from Saul

2 mistari · 56 vipengele

Mistari kuhusu David takes refuge among, from Saul

  1. Kutoka huko Daudi akaenda Mispa huko Moabu na kumwambia mfalme wa Moabu, “Naomba uwaruhusu baba yangu na mama yangu waje kukaa nawe mpaka nijue nini Mungu atakachonifanyia.”

  2. Hivyo akawaacha wazazi wake wakae na mfalme wa Moabu, nao wakakaa naye muda wote ambao Daudi alikuwa ngomeni.