Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Jebusites: Not exterminated, but intermarry with the Israelites

31 mistari · 7 vipengele

Mistari kuhusu Not exterminated, but intermarry with the Israelites

Chuja kwa kitabu
  1. Waisraeli wakaishi miongoni mwa Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

  2. Wakawaoa binti zao, nao wakawatoa binti zao waolewe na wana wa hayo mataifa, na kuitumikia miungu yao.

  3. Baada ya mambo haya kutendeka, viongozi walinijia na kusema, “Watu wa Israeli, wakiwemo makuhani na Walawi, hawakujitenga na majirani zao katika kufanya machukizo, kama yale ya Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori.

  4. Wamewaoa baadhi ya binti zao kuwa wake zao na wake za wana wao, nao wamechanganya taifa takatifu na watu waliowazunguka. Nao viongozi na maafisa wamekuwa mstari wa mbele katika njia hii potovu.”

  5. Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni: Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.

  6. (Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)

  7. Kutoka wazao wa Imeri: Hanani na Zebadia.

  8. Kutoka wazao wa Harimu: Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.

  9. Kutoka wazao wa Pashuri: Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.

  10. Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

  11. Kutoka waimbaji: Eliashibu. Kutoka mabawabu: Shalumu, Telemu na Uri.

  12. Miongoni mwa Waisraeli wengine: Kutoka wazao wa Paroshi: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

  13. Kutoka wazao wa Elamu: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.

  14. Kutoka wazao wa Zatu: Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.

  15. Kutoka uzao wa Bebai: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

  16. Kutoka wazao wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.

  17. Kutoka wazao wa Pahath-Moabu: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.

  18. Kutoka wazao wa Harimu: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,

  19. Benyamini, Maluki, na Shemaria.

  20. Kutoka wazao wa Hashumu: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.

  21. Kutoka wazao wa Bani: Maadai, Amramu, Ueli,

  22. Benaya, Bedeya, Keluhi,

  23. Vania, Meremothi, Eliashibu,

  24. Matania, Matenai na Yaasu.

  25. Kutoka wazao wa Binui: Shimei,