Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Jair

5 mistari · 4 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Baada yake akafuatiwa na Yairi, Mgileadi, ambaye aliamua Israeli kwa miaka ishirini na miwili.

  2. Alikuwa na wana thelathini waliopanda punda thelathini. Nao walikuwa na miji thelathini iliyoko Gileadi, inayoitwa Hawoth-Yairi mpaka leo.

  3. Yairi akafa, naye akazikwa huko Kamoni.

  4. Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi.

  5. (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.