Skip to content

Kenath

2 verses

32.7500, 36.6100 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Kenath

  1. Naye Noba akateka Kenathi na makao yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.

  2. (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.