Rukia maudhui

Havvoth-jair

4 verses · 3 known names

Anajulikana pia kama: Havoth-jair, Jair

32.0400, 35.7200 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Havvoth-jair

  1. Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi.

  2. Yairi, mzao wa kabila la Manase, alichukua eneo lote la nchi ya Argobu hadi kufikia mpaka wa Wageshuri na Wamaaka, ukaitwa kwa jina lake; kwa hiyo mpaka leo hii Bashani inaitwa Hawoth-Yairi.)

  3. Alikuwa na wana thelathini waliopanda punda thelathini. Nao walikuwa na miji thelathini iliyoko Gileadi, inayoitwa Hawoth-Yairi mpaka leo.

  4. (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.