Mistari ya Biblia kuhusu Jair: 2. A judge of Israel
Mistari kuhusu 2. A judge of Israel
Baada yake akafuatiwa na Yairi, Mgileadi, ambaye aliamua Israeli kwa miaka ishirini na miwili.
Alikuwa na wana thelathini waliopanda punda thelathini. Nao walikuwa na miji thelathini iliyoko Gileadi, inayoitwa Hawoth-Yairi mpaka leo.
Yairi akafa, naye akazikwa huko Kamoni.