Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Jair: 2. A judge of Israel

3 mistari · 4 vipengele

Mistari kuhusu 2. A judge of Israel

  1. Baada yake akafuatiwa na Yairi, Mgileadi, ambaye aliamua Israeli kwa miaka ishirini na miwili.

  2. Alikuwa na wana thelathini waliopanda punda thelathini. Nao walikuwa na miji thelathini iliyoko Gileadi, inayoitwa Hawoth-Yairi mpaka leo.

  3. Yairi akafa, naye akazikwa huko Kamoni.