Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Christ is God: As Son of God

5 mistari · 55 vipengele

Mistari kuhusu As Son of God

  1. Lakini Yesu akakaa kimya. Ndipo kuhani mkuu akamwambia, “Nakuapisha mbele za Mungu aliye hai. Tuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.”

  2. Yesu akajibu, “Wewe umenena. Lakini ninawaambia nyote: Siku za baadaye, mtamwona Mwana wa Adamu akiwa ameketi mkono wa kuume wa Mwenye Nguvu, na akija juu ya mawingu ya mbinguni.”

  3. Ndipo kuhani mkuu akararua mavazi yake na kusema, “Amekufuru! Tuna haja gani tena ya mashahidi zaidi? Tazama, sasa ninyi mmesikia hayo makufuru.

  4. Uamuzi wenu ni gani?” Wakajibu, “Anastahili kufa.”

  5. Kisha wakamtemea mate usoni na wengine wakampiga ngumi. Wengine wakampiga makofi