Mistari ya Biblia kuhusu Christ is God: As Lord of all
Mistari kuhusu As Lord of all
Kama yasemavyo Maandiko, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.”
Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani, yeye ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao.
Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana, ataokolewa.”