Mistari ya Biblia kuhusu Children: Sacrificed
Mistari kuhusu Sacrificed
“ ‘Nawe uliwachukua wanao na binti zako ulionizalia mimi na kuwatoa kafara kuwa chakula kwa sanamu. Je, ukahaba wako haukukutosha?
Uliwachinja watoto wangu na kuwatoa kafara kwa sanamu.