Mistari ya Biblia kuhusu Children: A blessing
Mistari kuhusu A blessing
Wana ni urithi utokao kwa Bwana, watoto ni zawadi kutoka kwake.
Kama mishale mikononi mwa shujaa ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.
Heri mtu ambaye podo lake limejazwa nao. Hawataaibishwa wanaposhindana na adui zao langoni.