Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Amam

10 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Amamu, Shema, Molada,

  2. Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.

  3. Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,

  4. Hasar-Shuali, Bala, Esemu,

  5. Eltoladi, Bethuli, Horma,

  6. Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,

  7. Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.

  8. Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,

  9. pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.

  10. Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.