Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Afflictions: Sin visited with

7 mistari · 21 vipengele

Mistari kuhusu Sin visited with

  1. Lakini kwa sababu kwa kufanya hili umefanya adui za Bwana kuonyesha dharau kabisa, mwana atakayezaliwa kwako atakufa.”

  2. “Kama wanae wataacha amri yangu na wasifuate sheria zangu,

  3. kama wakihalifu maagizo yangu na kutoshika amri zangu,

  4. nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga,

  5. Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi; nilimwadhibu, nikauficha uso wangu kwa hasira, na bado aliendelea katika njia zake za tamaa.

  6. akamwambia, “Ewe mwana wa ibilisi, wewe ni adui wa kila kilicho haki! Umejaa kila aina ya udanganyifu na ulaghai. Je, hutaacha kuzipotosha njia za Bwana zilizonyooka?

  7. Nawe sasa sikiliza, mkono wa Bwana u dhidi yako. Utakuwa kipofu, wala hutaona jua kwa muda.” Mara ukungu na giza vikamfunika, naye akaenda huku na huko akitafuta mtu wa kumshika mkono ili amwonyeshe njia.